Selana Gomez amekua Busy na watu wake wa karibu ikiwemo familia yake wakati wa sikukuu za Krismas na mwaka mpya, ili mradi tu aweze kumsahau mpenzi wake Justin Bieber ingawa bado moyo wake unaonyesha dhati kumpenda.
Katika ziara yake Dubai Selana ameonekana kuwa karibu na mwanaume mmoja kwa jina la Harith Bukhash na kuspend naye muda mwingi huku akionyesha dhahiri kumsahaulisha machungu ya kuachana na mpenzi wake Bieber
“Alikua na wakati mzuri sana Dubai na alikua karibu sana na Harith, imeonyesha Selana ni jinsi gani anatakiwa kufanyiwa kama malkia,chanzo cha habari kilieleza.
No comments:
Post a Comment